Sunday, October 31, 2010

Boti

October 31, 2010
Boti ya kifahari ikipita mbele ya soko kuu la Ferry juzi, Haikujulikana mara moja boti hoi inamilikiwa na nani na wala ilikuwa ikielekea wapi. ingawa habari zinasema kuwa Boti hii inamilikiwa na Bakhresa na itakuwa ikifanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Zanzibar.

Leave a Comment » | Michezo

No comments:

Post a Comment