Sunday, October 31, 2010

KITUO HAKINA WAPIGA KURA, MAKARANI WANAKULA CHAPATI TU!

Kituo cha kupigia kura cha Manzese kwa Bakhresa kimekutwa na mtandao huu muda wa saa sita mchana hakina watu hivyo makarani wake kupata wasaa wa kunywa chai na chapati kama wanavyoonekana pichani. Ilitarajiwa eneo hilo kuwa na misuru mirefu ya watu kutokana na mikutano yake, ya kampeni ya kina Slaa na JK iliyofanyika eneo hilo kuvuta watu wengi!

No comments:

Post a Comment