Tuesday, November 2, 2010

MR II ASHINDA UBUNGE KWA KISHINDO!!!

Mkali wa Hip hop na mwanaharakati nchini Tanzania, Joseph mbilinyi, a.k.a mr II a.k.a Sugu, aliyekuwa akiwania ubunge jimbo la Mbeya Mjini kwa tiketi ya Chadema, ameshinda jimbo hilo kwa kishindo! Ni tumaini jipya na mageuzi makubwa katika ulimwengu wa wasanii wa muziki wa kizazi kipya kwa kuweka historia ya kutoa Mbunge nchini.

No comments:

Post a Comment