Tuesday, November 2, 2010

SEIF AMPONGEZA DK SHEIN

Maalim Seif wa CUF (kulia), akimpongezaDk. Shein baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi ya Urais Zanzibar 2010, matokeo yaliyotangazwa na Tume Ya uchaguzi ya Taifa Zanzibar usiku wa kumakia leo.
...ni wakati wa muafaka na kuungana

No comments:

Post a Comment