Monday, November 15, 2010

Mhe.Mrema, unatuma sms au …!

Mhe. Augustino Mrema.
Ni Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Augustino Mrema. Alinaswa na Mlalanje akiwa ametulia nje ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma hivi karibuni.

Haikuweza kufahamika alichokuwa akifanya licha ya kuonekana akiwa ameishika simu yake kama mtu anayetuma sms au kutaka kupiga.

No comments:

Post a Comment