Sunday, August 15, 2010

Karibuni wana javini

Ni siku ya jumapili tulivu kijana wenu mstaarabu nikiwa nimempumzika kwa geto lenye kila aina ya maheya fresh huu ni mwanzo ila tegemeeni kupata mambo motomoto na habari kalikali toka kila pande za  arusha ama ar chuga,a town hayo yote majina unaweza kuyaita.

1 comment: